Psalms 69:1-2

Kilio Cha Kuomba Msaada Wakati Wa Dhiki

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi.” Zaburi ya Daudi.

1 aEe Mungu, niokoe,
kwa maana maji yamenifika shingoni.
2 bNinazama kwenye vilindi vya matope,
pasipo mahali pa kukanyaga,
Nimefika kwenye maji makuu,
mafuriko yamenigharikisha.
Copyright information for SwhNEN